Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Straika wa mabao arudi Cameroon

Vincent Aboubakar Cameroon Vicent Aboubacar

Fri, 26 Jan 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Maombi ya Taifa la Cameroon yamejibiwa, huyu mwamba aliiua Brazil na akafanya mabalaa pale Qatar akitokea benchi, ndio ni Vicent Aboubacar.

Ni top Striker Barani Afrika kwasasa, uwezo, nguvu na upambanaji kwa ajili ya Taifa lake ni 100% huyu ndio maana halisi ya uzalendo aliokuwa anausema Eto'o.

Usije kushangaa akamaliza mashindano akiwa mfungaji bora na ameanza hatua ya mtoano

Chanzo: www.tanzaniaweb.live