Thu, 20 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Azam FC ipo kwenye mazungumzo ya kuachana na Mshambuliaji wao Alassane Diao (21)
Mpaka sasa pande hizo mbili bado hawajafikia mwafaka na mkataba wake umebaki mwaka mmoja.
Kuhusu Ali Ahamada (Mlinda mlango) dili lake la kuondoka ni Complicated, anaweza akabaki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live