Wed, 6 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa klabu ya Al Sadd Baghdad Bounedjah alipata majeraha yaliyomfanya akose mazoezi ya timu yake ya taifa jana usiku.
Mshambuliaji wa klabu ya Al Sadd Baghdad Bounedjah alipata majeraha yaliyomfanya akose mazoezi ya timu yake ya taifa jana usiku. Mshambuliaji huyo hatari huenda akawa pigo kwa timu ya taifa ya Algeria endapo wataikosa huduma yake kwenye mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Tanzania septemba 7,2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live