Thu, 8 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia , Justin Shonga amejiunga na Klabu ya Najran Sport Club ya Daraja la Pili la Saudi Arabia akitokea Klabu ya Gagra FC ya Georgia.
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia , Justin Shonga amejiunga na Klabu ya Najran Sport Club ya Daraja la Pili la Saudi Arabia akitokea Klabu ya Gagra FC ya Georgia. Shonga amesaini Najran kwa Mkataba wa Miezi sita ambao atakaa hapo hadi mwisho wa msimu huu na huku kukiwa na chaguo la kuongeza Mkataba mwingine mwishoni mwa msimu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live