Wed, 6 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji Mpya Wa Yanga Princess Faiza Seidu ameingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya Mchezaji bora wa Kike wa Mwaka Nchini Ghana.
Faiza amemaliza Msimu 22/23 akiwa katika nafasi ya 3 ya ufungaji kwa kufunga magoli 15,
Katika Orodha hiyo pia yupo Marry Amponsah ambaye alikuwa akihusishwa kuhitajika ndani ya klabu ya Simba Queens kabla ya dili hilo kushindwa kukamilika katika dakika za mwisho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: