Wed, 30 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester City na Timu ya Taifa ya Ivory Coast, Wilfried Bony amejiunga na Kikosi cha ASEC Mimosas kwa ajili ya kufanya mazoezi na Kikosi hicho kwa wakati huu ambao hana timu.
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester City na Timu ya Taifa ya Ivory Coast, Wilfried Bony amejiunga na Kikosi cha ASEC Mimosas kwa ajili ya kufanya mazoezi na Kikosi hicho kwa wakati huu ambao hana timu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live