Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano binafsi na mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya England, Raheem Sterling juu ya uhamisho kwenda Stamford Bridge.
Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano binafsi na mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya England, Raheem Sterling juu ya uhamisho kwenda Stamford Bridge. Dau la uhamisho huo lipo ukingoni kutangazwa baada ya maafikiano baina ya vilabu hivyo huku mshahara wa pauni laki tatu kwa wiki ukiwa mezani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live