Sat, 17 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Inaelezwa kuwa Mshambuliaji wa Chelsea, Raheem Sterling amekataa ofa ya kwenda kucheza Soka Nchini Saudi Arabia ambapo aliahidiwa kulipwa takriban mara tatu ya kiasi anacholipwa kwa sasa
Kama angekubali ofa hiyo, raia huyo wa Uingereza angeweza kuwa mmoja wa Wachezaji watatu wanaolipwa mshahara mkubwa zaidi katika ‘Saudi Pro League’
Sterling (29) inadaiwa analipwa mshahara wa Pauni 300,000 (Tsh. Milioni 958) kwa wiki
Chanzo: www.tanzaniaweb.live