Wed, 5 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa “Taifa Stars” imewasili Tanzania ikitokea Indonesia ilipokwenda kucheza mechi za kirafiki.
Kikosi hicho kinaingia kambini moja kwa moja kuendelea na maandalizi ya mchezo dhidi ya Zambia wa kufuzu kombe la Dunia utakaopigwa Juni 11, 2024.
Stars watasafiri kuwafuata Zambia kucheza mchezo huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live