Ikiwa Taifa Stars itafuzu Afcon, itajihakikishia kitita cha Dola 534,000 (Sh 1.3 bilioni) kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF ), lakini pia wachezaji watapata bonasi ya Sh 500 milioni kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikiwa Taifa Stars itafuzu Afcon, itajihakikishia kitita cha Dola 534,000 (Sh 1.3 bilioni) kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF ), lakini pia wachezaji watapata bonasi ya Sh 500 milioni kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Stars wanacheza mchezo wa mwisho Leo dhidi ya Algeria majira ya saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.