Wed, 9 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Michelle Alozie (26) ni Mchezaji wa Mpira wa Miguu Timu ya Taifa ya Wanawake Nchi Nigeria.
Mbali na Kipaji cha Michezo, Michelle ni Msomi, ana Degree ya Molecular Biology kutoka Yale University, USA.
Kwa upande wa klabu, Michelle anacheza Kwenye Ligi ya Marekani, Timu inaitwa Houston Dash. Mbali na Ajira ya Mpira wa Miguu pia ameajiriwa kama mtafiti kuhusu Ugonjwa wa Kansa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live