Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa klabu ya Brentford Neal Maupay ameandika "Its Coming home" [Linakuja nyumbani] kwenye ukurasa wake wa X baada ya England kutoa sare kwenye mchezo wa pili wa Euro jana jioni.
Mshambuliaji wa klabu ya Brentford Neal Maupay ameandika "Its Coming home" [Linakuja nyumbani] kwenye ukurasa wake wa X baada ya England kutoa sare kwenye mchezo wa pili wa Euro jana jioni. Kwa namna ulivyoona alichokiandika Neal Maupay alikuwa anatoa kejeli au ndio amemaanisha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live