Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa Manchester City Kyle Walker amekanusha kutengana na mkewe Annie licha ya wao kuwa na ugomvi baada ya mchezaji huyo kuonekana muda mwingi akiwa na ex wake Lauryn Goodman.
Kyle ameeleza kuwa ingawa kulikuwa na matatizo kati yake na mzazi mwenzie lakini haikumfanya mkewe Annie aachane naye.
Wawili hao walifunga ndoa mwaka 2021.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live