Wed, 3 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa Arsenal Takehiro Tomiyasu amekosoa AFCON na Asian Cup kufanyika mwezi January na ameshauri zihamishwe mwezi June kama inavyofanyika UEFA Euro
“Natamani Asian Cup ichezwe mwezi June kama Euros, sijui kwanini tunacheza mwezi Jaunaari sio sisi tu bali hata AFCON ,hii sio nzuri kwa wachezaji “-
Maneno ya Tomiyasu kwenye mahijiano na gazeti la Evening Standard
Arsenal itamkosa Tomiyasu kwenye game sita kama Japan itafika hadi fainali kwenye mashindano ya Asian Cup kule Qatar January 12 hadi February 10.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live