Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mohamed Elneny amefungua chumba cha kwanza cha maombi cha Kwa mara ya kwanza katika klabu ya Arsenal katika uwanja wa Emirates.
Akizungumza mara baada ya tukio hilo Mohammed Elneny anasema;
"Kuwa na nafasi hii ya kutafakari na kuomba kutabadilisha maisha ya wachezaji wa baadaye wa Arsenal."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live