Tue, 15 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Totteham Hospurs inaripotiwa kuisaka huduma ya Mshambuliaji Folarin Balogun kutoka ndani ya klabu ya Arsenal.
Arsenal wameweka wazi kwamba bei ya kumpata Balogun kwa timu yoyoyte inayomtaka ni £47.5m.
Tottenham ipo sokoni kumsaka Mshambuliaji wa kuvaa viatu vya Harry Kane aliyeuzwa kwenda klabu ya Baryen Munich.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live