Sat, 19 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa Fabrizio Romano Luciano Spalletti ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Italia.
Kwa mujibu wa Fabrizio Romano Luciano Spalletti ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Italia. Luciano Spalletti amesaini mkataba hadi Juni 2026 akichukua nafasi ya Roberto Mancini ambaye ameamua kujiuzulu wiki iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live