Fri, 26 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Nasr Benghazi ya Ligi kuu Libya imekamilisha usajili wa mshambuliaji Jonathan Sowah kutoka Medeama SC ya Ghana.
Klabu ya Al Nasr Benghazi ya Ligi kuu Libya imekamilisha usajili wa mshambuliaji Jonathan Sowah kutoka Medeama SC ya Ghana. Sowah (25) raia wa Ghana amesaini kandarasi la miaka mitatu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live