Thu, 19 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Orlando Pirates imetangaza kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Cameron Souaibou Marou kutoka Coton Sport.
Klabu ya Orlando Pirates imetangaza kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Cameron Souaibou Marou kutoka Coton Sport. Mkataba wa mshambuliaji huyo utamfanya kudumu Orlando Pirates hadi msimu wa 2024/2025.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live