Sat, 17 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa zamani wa Manchester United, Chris Smalling (33) raia wa England amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kusalia AS Roma mpaka Juni 2025.
Mlinzi wa zamani wa Manchester United, Chris Smalling (33) raia wa England amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kusalia AS Roma mpaka Juni 2025.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live