Thu, 16 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa Tovuti ya FarPost kutoka Afrika Kusini imethibitisha kwamba Skudu Makudubela tayari amepokea Ofa kutoka katika Klabu ya Magesi FC ambayo imefuzu kushiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini msimu ujao.
Kwa mujibu wa Tovuti ya FarPost kutoka Afrika Kusini imethibitisha kwamba Skudu Makudubela tayari amepokea Ofa kutoka katika Klabu ya Magesi FC ambayo imefuzu kushiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini msimu ujao. Young Africans SC haina mpango wa kuendelea na huduma ya Kiungo huyu mwenye ustadi wa kuchezea Mpira hivyo ataondoka mwishoni mwa Msimu huu akiwa mchezaji huru.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live