Mon, 24 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya soka ya APR ya Rwanda imefungua mazungumzo na winga wa Yanga Skudu Makudubela.
Klabu ya soka ya APR ya Rwanda imefungua mazungumzo na winga wa Yanga Skudu Makudubela. APR wako makini kuhakikisha wanakamilisha usajili wa Skudu ambae anaelekea kumaliza Mkataba na Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live