Wakati wachezaji wawili wanaosumbua soko la usajili kwa sasa wakiikataa Liverpool na kuitaka Chelsea.
Rekodi zinaonesha sio tu Liverpool waliowahi ku;lizwa na Chelsea bali kuna vilabu kadhaa viliwahi kujaribu kugombea mchezaji na Chelsea wakaangukia Pua.
Kwa uchache kuna hawa;
Mikel Obi aliikataa Manchester United akaenda Chelsea.
Eden Hazard aliikataa Man United + City akatua Chelsea.
Willian aliikataa Spurs akatua Chelsea.
Mudryk aliikataa Arsenal akatua Chelsea.
Caicedoalikataa Liverpool ametua Chelsea.
Na sasa, Lavia ameikataa Liverpool anataka kutua Chelsea.
Je unadhani Chelsea wanafanikiwa wapi?