Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Singida Big Stars imechukua pointi 3 Uwanja wa Manungu, Morogoro ikiichapa Mtibwa Sugar bao 1-0 likifungwa na mshambuliaji Elvis Rupia dakika ya 43.
Singida Big Stars imechukua pointi 3 Uwanja wa Manungu, Morogoro ikiichapa Mtibwa Sugar bao 1-0 likifungwa na mshambuliaji Elvis Rupia dakika ya 43. Singida BS mechi inayofuata itakuwa na kibarua cha kuikabili Simba katika mechi ya Ligi Kuu Oktoba 8 katika Uwanja wa Liti, Singida.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: