Tue, 5 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Singida Fountain Gate kimewasili salama Jijini Dar Es Salaam kwa ajili ya kuweka kambi maalum ya maandalizi ya mchezo wao wa kombe la shirikisho dhidi ya Future FC ya Misri.
Kikosi cha Singida Fountain Gate kimewasili salama Jijini Dar Es Salaam kwa ajili ya kuweka kambi maalum ya maandalizi ya mchezo wao wa kombe la shirikisho dhidi ya Future FC ya Misri. Singida wamefika Dar Septemba 4 na moja kwa moja wameanza kambi kwa ajili ya kuhakikisha wanamaliza mchezo nyumbani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live