Tue, 12 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa klabu ya Singida Fountain Gate, kupitia kwa Afisa habari Hussein Massanza umetangaza hakuna kiingilio katika mchezo wao dhidi ya Future FC ya nchini Misri hatua ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika katika uwanja wa Azam Complex, Jumapili hii saa 10:00 jioni.
Uongozi wa klabu ya Singida Fountain Gate, kupitia kwa Afisa habari Hussein Massanza umetangaza hakuna kiingilio katika mchezo wao dhidi ya Future FC ya nchini Misri hatua ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika katika uwanja wa Azam Complex, Jumapili hii saa 10:00 jioni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live