Fri, 26 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Singida Big Stars imeendelea kujiimarisha kwenye eneo lake la ulinzi imekamilisha usajili wa beki wa kulia Nicolas Wadada anayecheza Ihefu.
Singida Big Stars imeendelea kujiimarisha kwenye eneo lake la ulinzi imekamilisha usajili wa beki wa kulia Nicolas Wadada anayecheza Ihefu. Habari za uhakika zinadai Wadada tayari ameshamalizana na mabosi wa Singida na kilichobaki anasubili dirisha la usajili lifunguliwe na atangazwe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live