Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Singida Big Stars, tangu imepanda Ligi Kuu msimu wa 2022/23 haijawahi kuifunga Yanga.
Katika michezo miwili ya mwisho katika Ligi Kuu ambayo wamekutana huko nyuma, Singida imepoteza yote ikiruhusu mabao sita jambo ambalo linawapa kiburi mashabiki wa Yanga kuamini kuwa hata leo ushindi unapatikana.
Je, hii leo watavunja mwiko wa kugawa alama kwa Yanga? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: