Thu, 18 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Klabu ya Singida United imetangaza kikosi chake kitakacho shuka katika Uwanja wa Uhuru hii leo kuvaana na Simba SC katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara.
Katika mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa hasa kutokana na timu zote mbili kuwa na wachezaji mahiri na huku Simba SC ikiwa inaongoza ligi kwa kuwa na alama 26 wakati Singida United ikiwa katika nafasi ya nne kwa kuwa na pointi 21.
Kikosi cha Singida United dhidi ya Simba SC leo
- Peter Manyika Jr
- Michael Rusheshangoga
- Shafiq Batambuze
- Kennedy Wilson
- Maliki Antiri
- Mudathiri Yahya
- Deus Kaseke
- Tafadzwa Kutinyu
- Lubinda Mundia
- Kambale Gentil
- Kigi Makasi
Ally Mustapha
Miraj Adam
Salum Chuku
Salum Kipaga
Kenny Ally
Elimwisia Sumbi
Yusuph Kagoma
Chanzo: bongo5.com