Thu, 26 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ofisa Habari wa Singida Big Stars, Hussein Massanza amefanya mahojiano na Mwananchi Digital kuzungumzia namna walivyojipanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Bingwa Mtetezi, Yanga SC.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Oktoba 27, 2023 katika uwanja wa Benjamini Mkapa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live