Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba wanashuka Dimbani leo Machi 12 kuvaana na Singida ambao wako kwenye kipindi kigumu cha kupata matokeo kwa sasa.
Sasa Afisa habari wa Singida Fountain Gate, Hussein Massanza anasema;
“Kama unatimu yako nyingine lakini unatamani tushinde mechi yetu dhidi ya Simba karibu Chamazi utusapoti Singida.
“Wachezaji wanaitaka hii mechi, ndio mechi yao ya kuonyesha wamerudi kwenye hasira ya kupambana tuliyoizoea, kuna mamluki wengi wanataka kutengeneza gape ndefu na Simba waje watushangilie,”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live