Sun, 5 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Fountain Gate imethibitisha Kufikia Makubaliano ya Pamoja ya Kuvunja Mkataba na Aliyekuwa Msemaji Wake, Husein Massanza Kuanzia Leo Tarehe 5 Mei, 2024 Huku Nafasi Yake ikichukuliwa na Bw. Joseph Emily Mkoko.
Klabu ya Singida Fountain Gate imethibitisha Kufikia Makubaliano ya Pamoja ya Kuvunja Mkataba na Aliyekuwa Msemaji Wake, Husein Massanza Kuanzia Leo Tarehe 5 Mei, 2024 Huku Nafasi Yake ikichukuliwa na Bw. Joseph Emily Mkoko.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live