Thu, 7 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Fountain Gate imefikia uamuzi wa kulivunja benchi lote la Ufundi ambalo lilikuwa likiongozwa na kocha Thabo Senong (43) ambaye amedumu kikosini apo tangu Septemba 2023 akisaidizana na Nizar Khalfan.
Uamuzi huu umetokana na mfululizo wa matokeo mabaya katika klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live