Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Singida FG yaishushia kipigo kizito Timu ya Fei Toto

Kagere 374 Medie Kagere

Sat, 30 Dec 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Singida Fontaine Gate imewaadhibu vinara wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU FC ya Zanzibar jumla ya magoli 4-1 katika mchezo wa kombe la Mapinduzi uliopigwa katika dimba la Amaan Complex, Zanzibar.

JKU 1-4 Singida FG

⚽ Saleh 61’p

⚽⚽ Elvis Rupia 17’, 47’

⚽ Medie Kagere 80’

⚽ Francis Kazadi 86’

Ikumbukwe kuwa, JKU ndiyo timu iliyomlea Feisal Salum Abdallah tangu akiwa mtoto maarufu kama Fei Toto kabla ya kutua Yanga na kuwa staa kishaa kutimkia Azam FC.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live