Wed, 6 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Fountain Gate itautumia uwanja wa Black Rhino uliopo Karatu Arusha kwenye mechi zao za nyumbani.
Klabu hiyo imefikia uamuzi huo baada ya uwanja wa CCM LITI Singida kufungiwa na mamlaka za Soka.
Black Rhino ni miongoni mwa viwanja vyenye Ubora mkubwa sana na vyenye pitch nzuri kwa hapa Tanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live