Thu, 2 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Fountain Fate imejizolea umaarufu baada ya kuwa klabu yenye namba kubwa ya makocha waliyoifundisha mpaka sasa.
Msimu huu tu ambao umesaliwa na michezo 7/8 imeshafunshindwa na makocha 6. Kwenye Msimamo wa NBC wapo nafasi ya 11 kati ya vilabu 16.
Makocha hao ni:-
Hans Van Pluijm
Heron Ferreira
Ernst Middendorp
Thabo Senong
Jamuhuri Kihwelu 'Julio'
Ngawina Ngawina
Makocha wa kigeni 4
Wazawa 2
Mpaka Mwisho wa Msimu itakuwaje wajuba?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live