Fri, 14 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Fountain Gate FC imekamilisha Uhamisho wa Kiungo Fundi wa Kimataifa wa Togo,Marouf Tchakei akitokea Klabu ya AS Kara ya Nchini Togo.
Klabu ya Singida Fountain Gate FC imekamilisha Uhamisho wa Kiungo Fundi wa Kimataifa wa Togo,Marouf Tchakei akitokea Klabu ya AS Kara ya Nchini Togo. Singida Fountain Gate watashiriki Michuano ya Kimataifa msimu ujao (Kombe la Shirikisho Afrika)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live