Wed, 26 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakulima wa alizeti Singida Fountain Gate ‘wataliamsha’ Agosti 02, 2023, kwenye Tamasha la Singida BIG DAY litakalofanyika katika dimba la Liti mjini Singida.
Wakulima wa alizeti Singida Fountain Gate ‘wataliamsha’ Agosti 02, 2023, kwenye Tamasha la Singida BIG DAY litakalofanyika katika dimba la Liti mjini Singida. Kupitia tamasha hilo Singida FG itatambulisha kikosi chake chote kitakachotumika msimu wa 2023/24 pamoja na kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa na timu ambayo kwa mujibu wa Afisa Habari wake Hussein Masanza wataiweka wazi siku chache zijazo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live