Sat, 31 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha biashara ya kumuuza beki wake Benjamin Tanimiu ambaye ametimkia Crawley Town ya England .
Tanimiu mwenye umri wa miaka 22 ambaye ni raia wa Nigeria ameuzwa kwa dau la Tsh Bilioni 2.5.
Singida Black Stars watavuna asilimia 20 ya mauzo yake hapo baadae.
Hakuna kuficha ficha wanetu Singida Black Stars wamefanya biashara ya maana mno!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live