Wed, 28 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Black Stars imefunga usajili wake kwa kumsajili mshambuliaji, Victorian Adebayor raia wa Niger.
Klabu ya Singida Black Stars imefunga usajili wake kwa kumsajili mshambuliaji, Victorian Adebayor raia wa Niger. Nyota huyo aliyewahi kutajwa kujiunga na Simba SC miaka ya nyuma amesaini mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo inayonolewa na kocha Patrick Aussems.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live