Fri, 28 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabosi wa Singida Black Stars wapo katika mazungumzo ya kumrejesha nchini beki wa kati, Abdi Banda anayeichezea Richards Bay FC ya Afrika Kusini.
Mabosi wa Singida Black Stars wapo katika mazungumzo ya kumrejesha nchini beki wa kati, Abdi Banda anayeichezea Richards Bay FC ya Afrika Kusini. Nyota huyo wa zamani wa Simba, Coastal Union, Mtibwa Sugar, Baroka na Chippa United inadaiwa amemaliza mkataba na Richards Bay hivyo yupo huru, japo Amazulu ya Sauzi inatajwa pia kumnyemelea.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live