Fri, 19 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Black Stars imefungua mazungumzo ya kumsajili mlinzi wa kulia wa Azam Nathaniel Chilambo.
Mkataba wake na Azam umebaki miezi mitatu tu.
Haitokuwa rahisi kwa Azam kubaki nae licha ya kwamba wapo kwenye mpango wa kumuongezea mkataba mpya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live