Tue, 16 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba imetangaza rasmi kuachana na nyota wake wanne ambao ni wazawa baada ya dirisha dogo la usajili kufungwa usiku wa Januari 15, 2024.
Nassoro Kapama
Shaban Chilunda
Jimmyson Mwanuke
Mohamed Mussa.
Kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii, Simba wamepost picha za wachezaji hao na kuandika; "Tunawashukuru kwa kazi waliyoifanya wakiwa sehemu ya kikosi chetu na tunawatakia kila la kheri huko waendapo."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live