Thu, 4 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtabiri maarufu Kutoka nchini Libya Aboubakar El Han ametabiri mechi za Mwisho za Hatua ya Robo Fainali ya CAF Champions League league.
El Han amewashtua watu wengi Hasa Wadau wa Soka na Mashabiki Nchini Misri baada ya kutabiri kuwa Timu ya Al Ahly kutoka Masri itaondolewa na Simba SC kwenye mashindano hayo.
Timu alizozitabiria kuingia nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ni Simba SC, Mamelodi Sundown, Esperance de Tunis na TP Mazembe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live