Sun, 7 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba imemtambulisha Striker kutoka Serbia, Dejan Georgejevic kama mshambuliaji wake mpya katika msimu wa mashindano wa mwaka 2022/23.
Mwamba huyu amezaliwa 19 Jan,1994 Raia wa Serbia umri Miaka 28, alikuwa anakipiga katika klabu ya Slovenian_PrvaLiga. Mchezaji huyo anakamilisha idadi ya Wachezaji 12 wa kigeni Simba SC.
Taarifa ya Simba imesema;
"Taarifa rasmi ikufikie kwamba mshambuliaji wa magoli, mchezaji wa kimataifa kutoka nchini Serbia, Dejan Georgijević ni Mnyama".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live