Wed, 3 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba SC imenasa saini ya kiungo mshambuliaji raia wa Ivory Coast, Ahoua Jean Charles, kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Stella Club d'Adjamé ya nchini humo
Katika msimu wa 2023/24, Ahoua (22) alikuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Ivory Coast na klabu yake.
Jean anayecheza nafasi ya Kiungo mshambuliaji amefunga magoli 12 na kutoa assist 9 katika michezo ya Ligi Kuu Ivory Coast.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live