Mon, 29 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba SC kimechomoza na ushindi katika mchezo wa pili wa kirafiki nchini Misri kwa kuichapa Telecom Egypt mabao 2-1.
Kikosi cha Simba SC kimechomoza na ushindi katika mchezo wa pili wa kirafiki nchini Misri kwa kuichapa Telecom Egypt mabao 2-1. Simba SC inatarajia kumaliza kambi yake nchini Misri wiki ijayo kabla ya kurejea nchini Tanzania, tayari kwa Tamasha la Simba Day litakalofanyika Agosti 03, 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live