Mon, 1 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba inaendelea na mazungumzo na kiungo Sadio Kanoute ili kuachana nae kuelekea msimu ujao.
Sadio Kanoute anahitajika kuondoka Klabu ya Simba ambapo nafasi inatajwa itachukuliwa na Augustine Okejepha, maamuzi ya mwisho yatatolewa hivi karibuni.
Ikiwa mazungumzo yatakwenda vizuri basi Sadio Kanoute atapewa kwaheri ikiwa mazungumzo hayatakamilika basi atasalia klabuni hapo lakini viongozi wengi wa Simba hawamuhitaji Kanoute.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live