Sat, 11 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba SC kimeianza safari kuelekea mkoani Kagera kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu kesho dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Uwanja wa Kaitaba.
Kikosi cha Simba SC kimeianza safari kuelekea mkoani Kagera kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu kesho dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Uwanja wa Kaitaba. Mpaka sasa Simba imecheza michezo 25 na kujikusanyia alama 56 katika nafasi ya tatu wakati Kagera Sugar wamecheza michezo 26 na kujinyakulia alama 30 wakijichimbia nafasi ya tisa kwenye msimamo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live