Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Simba yaibwanga Yanga tuzo ya DSCOY

Simbaaa Tuzo Simba yaibwanga Yanga tuzo ya DSCOY

Sat, 25 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Tumeshinda Tuzo ya Klabu Bora ya Michezo inayotumia Digitali kwa Ufanisi (Digital Sports Club of the Year).

Tulikuwa tunawania tuzo hii na Azam FC, Young Africans, Mtibwa Sugar na Mashujaa FC.

Hii inakuwa mara ya pili kwa Simba SC kushinda tuzo hii. Shukrani kwa watu wote waliotupigia kura na kufanikisha kushinda tuzo hii.

Pia mchezaji wetu Aishi Manula ameshinda Tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Mwaka (Digital Athlete of the Year).

Chanzo: www.tanzaniaweb.live